
Real Madrid wanajiandaa kutoa ofa ya pauni milioni 120 kwa mchezaji wa Chelsea Eden Hazard, 26. (Sun)
Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amekana kuwepo tofauti kati ya mshambuliaji Alexis Sanchez, 29, na wachezaji wengine. (Sky Sports)
Meneja wa Manchester City Pep Guardiola, amekataa kukana kuwepo jitihada mpya kwa Sanchez baada ya Gabriel Jesus kupata jeraha wakati wa mechi dhidi ya Crystal Palace siku ya Jumapili. (Talksport)
No comments:
Post a Comment